Maji yanayopatikana hapa yanatumika kupikia pamoja na kunywa. Ni maamuzi ya mtumiaji kwamba achemshe au asichemshe kwa sababu ni maji safi na salama kwa shughuli zote za nyumbani, Hairuhusiwi mtu yeyote kufulia wala kuoga mahali hapo, kuna sehemu maalum kwa ajili ya kuogea na kufulia ambapo wanaume wana sehemu yao na wanawake wana sehemu yao
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni