Kimondo ambacho kilidondoka kutoka angani huko Mbozi mbeya karibu na mji wa vwawa.Kinakadiriwa kuwa na uzito wa tani 12 na kilianguka katika mlima wa mlenje
Kimondo hicho ni kimoja kati ya vimondo 10 vinavyojulikana duniani na kina urefu wa mita 3.3 na urefu wa mita 1.63 na kimo cha 1.22.
Kwa upande wa umbile kimondo hichi kiko tofauti na vimondo vingine vinavyopatikana ulimwenguni kwa sababu kimondo hichi ni hasa kwa chuma. Chuma kimechukua asilimia 90.45 na nikel asilimia 8.69, sulfuri asilimia 0.01 na fosfori asilimia 0.11 ya masi yake
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni