Habari Za Hivi Punde

Alhamisi, 29 Januari 2015

Uongozi wa itete alumni association kwa kushirikiana na wadau mbali mbali(walimu, wazazi na wanafunzi) umeandaa mfululizo wa matukio kama ifuatavyo:-
20/02/2015 (alumni Gathering) Kuonana wana alumni wote mkoani mbeya na kumtembelea mwalimu mwalumuli.
23/02/2015 kuwasili rasmi katika shule ya itete, ambapo events kadhaa zitafanyika.
24/02/2015 ni kilele cha safari zetu tutawatembelea walimu wastaafu(mwl mwamaso, igumi na mwakasitu) ikiambatana na lunch party, Kisha jion kufunga siku kwa kutembelea ziwa kiungululu.
Mabadiriko yoyote tutawafahamisha. Asanteni

 

 

 

 

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Designed By